Kifo cha mwanamziki wa bongofleva haitham kim


 #albarttz

MSANII WA BONGO FLEVA 

HAITHAM KIM AFARIKI DUNIA


Taarifa iliyotufikia hivi punde msanii wa Bongo Fleva Haitham Kim amefariki dunia majira ya saa 6 mchana ambapo ameacha mtoto mmoja aliyezaa na mzazi mwenzake Niite Boshen. 


Alifanikiwa kufanya vyema na ngoma kama utamu akiwa na Young Lunya pia ukaniumiza akiwa na Dayoo na Lody Music.


Alikuwa amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) ambapo toka juzi kampeni ya kuchangia matibabu ilikuwa ikiendelea kupitia wasanii mbalimbali na wadau.


Taarifa zaidi zitakujia endelea kuwa nasi.


Join us for more news

Whatsaap channel

Msomi wetu

Tembelea bloggers yetu kwa ajili ya kupata habari mbalimbali za michezo burudani elimu nakadhalika

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post